Skip to content
Luka 13:10-13

Luka 13:10-13

10
Basi Yesu alikuwa akifundisha katika sinagogi mojawapo siku ya Sabato.
11
Wakati huo huo akaja mwanamke mmoja aliyekuwa na pepo mchafu, naye alikuwa amepinda mgongo kwa muda wa miaka kumi na minane, wala alikuwa hawezi kunyooka wima.
12
Yesu alipomwona, akamwita, akamwambia, “Mwanamke, uwe huru, umepona ugonjwa wako.”
13
Yesu alipomwekea mikono yake, mara akasimama wima akaanza kumtukuza Mungu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options