Luka 12:42-44
42
Yesu akamjibu, “Ni yupi basi wakili mwaminifu na mwenye busara, ambaye bwana wake atamfanya msimamizi juu ya watumishi wake wote, ili awape watumishi wengine chakula chao wakati unaofaa?
43
Heri mtumishi yule ambaye bwana wake atakaporudi atamkuta akifanya hivyo.
44
Amin nawaambia, atamweka mtumishi huyo kuwa msimamizi wa mali yake yote.
Settings