Skip to content
Luka 12:29-31

Luka 12:29-31

29
Wala msisumbuke mioyoni mwenu mtakula nini au mtakunywa nini. Msiwe na wasiwasi juu ya haya.
30
Watu wa mataifa ya duniani husumbuka sana kuhusu vitu hivi vyote, lakini Baba yenu anafahamu kuwa mnahitaji haya yote.
31
Bali utafuteni Ufalme wa Mungu, na haya yote atawapa pia.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options