본문으로 건너뛰기
Luka 1:30-33

Luka 1:30-33

30
Ndipo malaika akamwambia, “Usiogope, Maria, umepata kibali kwa Mungu.
31
Tazama, utachukua mimba, nawe utamzaa mtoto mwanaume na utamwita jina lake Yesu.
32
Yeye atakuwa mkuu, naye ataitwa Mwana wa Aliye Juu Sana. Bwana Mungu atampa kiti cha enzi cha Daudi baba yake.
33
Ataimiliki nyumba ya Yakobo milele, na ufalme wake hautakuwa na mwisho.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options