Skip to content
Luka 1:28-31

Luka 1:28-31

28
Naye malaika akaja kwake akamwambia: “Salamu, wewe uliyebarikiwa, Bwana yu pamoja nawe!”
29
Maria akafadhaishwa sana na maneno haya, akajiuliza moyoni, “Salamu hii ni ya namna gani?”
30
Ndipo malaika akamwambia, “Usiogope, Maria, umepata kibali kwa Mungu.
31
Tazama, utachukua mimba, nawe utamzaa mtoto mwanaume na utamwita jina lake Yesu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options