Rukia maudhui
Walawi 8:10-11

Walawi 8:10-11

10
Ndipo Mose akachukua mafuta ya upako na kuipaka maskani na kila kitu kilichokuwamo ndani yake, kisha akaviweka wakfu.
11
Akanyunyiza baadhi ya mafuta juu ya madhabahu mara saba, akaipaka madhabahu mafuta na vyombo vyake vyote pamoja na sinia na kinara chake, ili kuviweka wakfu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options