Rukia maudhui
Walawi 26:6-8

Walawi 26:6-8

6
“ ‘Nitawapa amani katika nchi, mpate kulala pasipo kutiwa hofu na yeyote. Nitawaondoa wanyama wakali watoke kwenye nchi, nao upanga hautapita katika nchi yenu.
7
Mtawafukuza adui zenu, nanyi mtawaua kwa upanga mbele yenu.
8
Watu wenu watano watafukuza adui mia, watu wenu mia watafukuza adui elfu kumi, nao adui zenu wataanguka kwa upanga mbele yenu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options