Rukia maudhui
Walawi 23:23-25

Sikukuu ya Baragumu

Walawi 23:23-25
23
Bwana akamwambia Mose,
24
“Waambie Waisraeli: ‘Katika siku ya kwanza ya mwezi wa saba mtakuwa na siku ya mapumziko, kusanyiko takatifu la ukumbusho litakaloadhimishwa kwa kupiga tarumbeta.
25
Msifanye kazi zenu zozote za kawaida, lakini toeni sadaka kwa Bwana iliyoteketezwa kwa moto.’ ”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options