Rukia maudhui
Walawi 2:14-16

Sadaka ya Malimbuko

Walawi 2:14-16
14
“ ‘Kama ukileta malimbuko ya sadaka ya nafaka kwa Bwana, utatoa masuke yaliyopondwa ya nafaka mpya iliyookwa kwa moto.
15
Weka mafuta na uvumba juu yake; ni sadaka ya nafaka.
16
Kuhani atateketeza ile sehemu ya kumbukumbu kutoka kwenye hiyo sadaka ya nafaka iliyopondwa kwa mafuta, pamoja na uvumba wote, kama sadaka iliyotolewa kwa Bwana kwa moto.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options