Rukia maudhui
Walawi 15:16-18

Unajisi wa Kutokwa na Shahawa

Walawi 15:16-18
16
“ ‘Wakati mtu akitokwa na shahawa, ni lazima aoge mwili mzima kwa maji, na atakuwa najisi mpaka jioni.
17
Vazi lolote ama ngozi yoyote yenye shahawa juu yake ni lazima ioshwe kwa maji, na itakuwa najisi mpaka jioni.
18
Ikiwa mtu atalala na mwanamke, na kukawa na kutoka kwa shahawa, ni lazima wote waoge kwa maji, nao watakuwa najisi mpaka jioni.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options