Skip to content
Walawi 14:44-45

Walawi 14:44-45

44
kuhani atakwenda kuikagua, na kama upele umeenea ndani ya nyumba, basi ni upele uharibuo; nyumba hiyo ni najisi.
45
Ni lazima ibomolewe: mawe yake, mbao na lipu yake, vyote vikatupwe nje ya mji mahali palipo najisi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options