Skip to content
Maombolezo 3:63-66

Maombolezo 3:63-66

63
Watazame! Wakiwa wameketi au wamesimama, wananidhihaki katika nyimbo zao.
64
Uwalipe kile wanachostahili, Ee Bwana, kwa yale ambayo mikono yao imetenda.
65
Weka pazia juu ya mioyo yao, laana yako na iwe juu yao!
66
Wafuatilie katika hasira na uwaangamize kutoka chini ya mbingu za Bwana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options