Skip to content
Maombolezo 3:37-39

Maombolezo 3:37-39

37
Nani awezaye kusema nalo likatendeka kama Bwana hajaamuru?
38
Je, si ni kwenye kinywa cha Aliye Juu Sana ndiko yatokako maafa na mambo mema?
39
Mwanadamu yeyote aliye hai aweza kulalamika wakati anapoadhibiwa kwa ajili ya dhambi zake?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options