Maombolezo 3:37-39
37
Nani awezaye kusema nalo likatendeka kama Bwana hajaamuru?
38
Je, si ni kwenye kinywa cha Aliye Juu Sana ndiko yatokako maafa na mambo mema?
39
Mwanadamu yeyote aliye hai aweza kulalamika wakati anapoadhibiwa kwa ajili ya dhambi zake?