Maombolezo 3:1-6
1
Mimi ndiye mtu aliyeona mateso kwa fimbo ya ghadhabu yake.
2
Amenifukuzia mbali na kunifanya nitembee gizani wala si katika nuru;
3
hakika, amegeuza mkono wake dhidi yangu tena na tena, mchana kutwa.
4
Amefanya ngozi yangu na nyama yangu kuchakaa na ameivunja mifupa yangu.
5
Amenizingira na kunizunguka kwa uchungu na taabu.
6
Amenifanya niishi gizani kama wale waliokufa.
Settings