Skip to content
Maombolezo 3:1-3

Maombolezo 3:1-3

1
Mimi ndiye mtu aliyeona mateso kwa fimbo ya ghadhabu yake.
2
Amenifukuzia mbali na kunifanya nitembee gizani wala si katika nuru;
3
hakika, amegeuza mkono wake dhidi yangu tena na tena, mchana kutwa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options