Skip to content
Waamuzi 7:10-11

Waamuzi 7:10-11

10
Lakini kama unaogopa kushambulia, shuka kambini pamoja na mtumishi wako Pura,
11
nawe sikiliza wanayosema. Hatimaye, utatiwa moyo kushambulia kambi.” Basi yeye na Pura mtumishi wake wakashuka na kufikia walinzi wa mbele wenye silaha waliokuwa mle kambini.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options