Skip to content
Waamuzi 5:6-7

Waamuzi 5:6-7

6
“Katika siku za Shamgari mwana wa Anathi, katika siku za Yaeli, barabara kuu hazikuwa na watu; wasafiri walipita njia za kando.
7
Mashujaa walikoma katika Israeli, walikoma mpaka mimi, Debora, nilipoinuka, nilipoinuka kama mama katika Israeli.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options