Skip to content
Waamuzi 5:4-5

Ukuu wa Nguvu za Yahweh

Waamuzi 5:4-5
4
“Ee Bwana, ulipotoka katika Seiri, ulipopita katika mashamba ya Edomu, nchi ilitetemeka, mbingu nazo zikamwaga, naam, mawingu yakamwaga maji.
5
Milima ilitetemeka mbele za Bwana, hata ule wa Sinai, mbele za Bwana, Mungu wa Israeli.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options