Skip to content
Waamuzi 5:20-22

Waamuzi 5:20-22

20
Kutoka mbinguni nyota zilipigana, nyota kutoka njia zake zilipigana na Sisera.
21
Mto wa Kishoni uliwasomba, ule mto wa zamani, mto wa Kishoni. Songa mbele, ee nafsi yangu, kwa ujasiri!
22
Ndipo kwato za farasi zikafanya mshindo: farasi wake wenye nguvu huenda mbio kwa kurukaruka.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options