Rukia maudhui
Yuda 1:1-2

Salamu na Mamlaka ya Kitume

Yuda 1:1-2
1
Yuda, mtumwa wa Yesu Kristo na nduguye Yakobo: Kwa wale walioitwa, wapendwa katika Mungu Baba na kuhifadhiwa salama ndani ya Yesu Kristo:
2
Rehema, amani na upendo viwe kwenu kwa wingi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options