Yoshua 7:10-11
10
Bwana akamwambia Yoshua, “Simama! Unafanya nini hapo chini kifudifudi?
11
Israeli ametenda dhambi. Wamekiuka agano langu nililowaamuru kulishika. Wamechukua baadhi ya vitu vilivyowekwa wakfu, wameiba, wamesema uongo, wameviweka pamoja na mali zao.