Rukia maudhui
Yoshua 24:25-28

Agano Lathibitishwa

Yoshua 24:25-28
25
Siku ile Yoshua akafanya agano kwa ajili ya watu na hapo Shekemu ndipo alipowaandikia amri na sheria.
26
Naye Yoshua akayaandika mambo haya katika Kitabu cha Sheria ya Mungu. Ndipo akalitwaa jiwe kubwa, akalisimamisha huko chini ya mwaloni, karibu na mahali patakatifu pa Bwana.
27
Yoshua akawaambia watu wote, “Angalieni! Jiwe hili litakuwa shahidi juu yetu. Limesikia maneno yote Bwana aliyotuambia. Litakuwa shahidi juu yenu kama mtakuwa waongo kwa Mungu wenu.”
28
Basi Yoshua akawatuma watu kila mmoja aende katika urithi wake mwenyewe.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options