Zum Inhalt springen
Yoshua 24:19-20

Yoshua 24:19-20

19
Yoshua akawaambia watu, “Hamwezi kumtumikia Bwana. Yeye ni Mungu Mtakatifu, ni Mungu mwenye wivu. Hatasamehe uasi wenu na dhambi zenu.
20
Ikiwa mkimwacha Bwana na kuitumikia miungu migeni, atageuka na kuwaleteeni maafa na kuwaangamiza, baada ya kuwa mwema kwenu.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options