Yoshua 22:11-12
11
Waisraeli wengine waliposikia kwamba Wareubeni, Wagadi na ile nusu ya kabila la Manase walikuwa wamejenga madhabahu kwenye mpaka wa Kanaani huko Gelilothi karibu na Yordani kwenye upande wa Israeli,
12
kusanyiko lote la Israeli wakakusanyika huko Shilo ili wakapigane vita dhidi yao.