Skip to content
Yoshua 21:13-19

Yoshua 21:13-19

13
Kwa hiyo wazao wa kuhani Aroni wakapewa Hebroni (mji mkuu wa makimbilio kwa ajili ya yeyote aliyeshtakiwa kwa mauaji), Libna,
14
Yatiri, Eshtemoa,
15
Holoni, Debiri,
16
Aini, Yuta na Beth-Shemeshi, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji tisa kutoka kwa makabila haya mawili.
17
Kutoka kabila la Benyamini wakawapa Gibeoni, Geba,
18
Anathothi na Almoni, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne.
19
Miji yote waliyopewa makuhani, wazao wa Aroni, ilikuwa kumi na mitatu, pamoja na sehemu zake za malisho.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options