Skip to content
Yoshua 18:1-2

Maskani Yawekwa Shilo

Yoshua 18:1-2
1
Kusanyiko lote la Waisraeli likakusanyika huko Shilo na kusimamisha Hema la Kukutania. Nchi ikawa chini ya utawala wao,
2
lakini palikuwa bado makabila saba ya Israeli ambayo yalikuwa hayajapokea urithi wao.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options