Skip to content
Yoshua 18:1-2

Yoshua 18:1-2

1
Kusanyiko lote la Waisraeli likakusanyika huko Shilo na kusimamisha Hema la Kukutania. Nchi ikawa chini ya utawala wao,
2
lakini palikuwa bado makabila saba ya Israeli ambayo yalikuwa hayajapokea urithi wao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options