Skip to content
Yoshua 15:16-17

Yoshua 15:16-17

16
Kalebu akasema, “Nitamwoza binti yangu Aksa kwa mtu atakayeweza kupigana na kuteka Kiriath-Seferi.”
17
Basi Othnieli mwana wa Kenazi, ndugu yake Kalebu, akauteka; hivyo Kalebu akamtoa Aksa binti yake aolewe naye.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options