Skip to content
Yona 4:1-2

Yona 4:1-2

1
Lakini Yona alichukizwa sana akakasirika.
2
Akamwomba Bwana, “Ee Bwana, hili si lile nililolisema nilipokuwa ningali nyumbani? Hii ndiyo sababu niliharikisha kukimbilia Tarshishi. Nikifahamu kuwa wewe ni Mungu mwenye neema na huruma, si mwepesi wa hasira na umejaa upendo, ni Mungu ambaye hughairi katika kupeleka maafa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options