உள்ளடக்கத்திற்குச் செல்க
Yona 4:1-4

Hasira ya Yona kwa Huruma ya Mungu

Yona 4:1-4
1
Lakini Yona alichukizwa sana akakasirika.
2
Akamwomba Bwana, “Ee Bwana, hili si lile nililolisema nilipokuwa ningali nyumbani? Hii ndiyo sababu niliharikisha kukimbilia Tarshishi. Nikifahamu kuwa wewe ni Mungu mwenye neema na huruma, si mwepesi wa hasira na umejaa upendo, ni Mungu ambaye hughairi katika kupeleka maafa.
3
Sasa, Ee Bwana, niondolee uhai wangu, kwa kuwa ni afadhali mimi nife kuliko kuishi.”
4
Lakini Bwana akamjibu, “Je unayo haki yoyote kukasirika?”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options