Skip to content
Yona 1:1-3

Yona 1:1-3

1
Neno la Bwana lilimjia Yona mwana wa Amitai:
2
“Nenda katika mji mkubwa wa Ninawi ukahubiri juu yake, kwa sababu uovu wake umekuja juu mbele zangu.”
3
Lakini Yona alimkimbia Bwana na kuelekea Tarshishi. Alishuka mpaka Yafa, ambapo alikuta meli iliyokuwa imepangwa kuelekea bandari ile. Baada ya kulipa nauli, akapanda melini na kuelekea Tarshishi ili kumkimbia Bwana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options