Skip to content
Yohana 9:8-9

Yohana 9:8-9

8
Majirani zake na wale wote waliokuwa wamemwona hapo awali akiombaomba wakaanza kuuliza, “Je, huyu si yule aliyekuwa akiketi akiombaomba?”
9
Wengine wakasema, “Ndiye.” Wengine wakasema, “Siye, bali wamefanana.” Lakini yeye akawaambia, “Mimi ndiye.”
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options