Skip to content
Yohana 9:31-33

Yohana 9:31-33

31
Tunajua ya kuwa Mungu hawasikilizi wenye dhambi, lakini huwasikiliza wote wanaomcha na kumtii.
32
Tangu zamani hatujasikia kwamba mtu amemponya yeyote aliyezaliwa kipofu.
33
Kama huyu mtu hakutoka kwa Mungu, asingeweza kufanya lolote.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options