Yohana 9:35-38
35
Yesu aliposikia kuwa wamemfukuzia nje yule mtu aliyemfumbua macho, alimkuta akamuuliza, “Je, unamwamini Mwana wa Adamu?”
36
Yule mtu akamjibu, “Yeye ni nani, Bwana? Niambie ili nipate kumwamini.”
37
Yesu akamjibu, “Umekwisha kumwona, naye anayezungumza nawe, ndiye.”
38
Yule mtu akasema, “Bwana, naamini.” Naye akamwabudu.
Settings