Skip to content
Yohana 8:34-36

Yohana 8:34-36

34
Yesu akajibu, “Amin, amin nawaambia, kila atendaye dhambi ni mtumwa wa dhambi.
35
Mtumwa hakai nyumbani anakotumika siku zote, lakini mwana hukaa nyumbani daima.
36
Hivyo Mwana akiwaweka huru mtakuwa huru kweli kweli.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options