Yohana 8:16-18
16
Lakini hata kama nikihukumu, uamuzi wangu ni sahihi kwa sababu sitoi hukumu yangu peke yangu, bali niko pamoja na Baba, aliyenituma.
17
Imeandikwa katika Sheria yenu kwamba, ushahidi wa watu wawili ni thabiti.
18
Mimi najishuhudia mwenyewe, naye Baba aliyenituma hunishuhudia.”