Zum Inhalt springen
Yohana 7:47-49

Yohana 7:47-49

47
Mafarisayo wakajibu, “Je, nanyi pia mmedanganyika?
48
Je, kuna kiongozi yeyote au mmoja wa Mafarisayo ambaye amemwamini?
49
Lakini huu umati wa watu wasiojua Sheria ya Mose, wamelaaniwa.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options