Rukia maudhui
Yohana 7:37-38

Yohana 7:37-38

37
Siku ile ya mwisho ya Sikukuu, siku ile kuu, wakati Yesu akiwa amesimama huko, akapaza sauti yake akasema, “Kama mtu yeyote anaona kiu na aje kwangu anywe.
38
Yeyote aniaminiye mimi, kama Maandiko yasemavyo, vijito vya maji ya uzima vitatiririka ndani mwake.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options