Skip to content
Yohana 4:7-9

Yohana 4:7-9

7
Mwanamke mmoja Msamaria akaja kuteka maji, Yesu akamwambia, “Naomba maji ninywe.”
8
(Wakati huo wanafunzi wake walikuwa wamekwenda mjini kununua chakula.)
9
Yule mwanamke Msamaria akamjibu, “Wewe ni Myahudi na mimi ni Msamaria. Yawezekanaje uniombe nikupe maji ya kunywa?” (Wayahudi walikuwa hawashirikiani kabisa na Wasamaria.)
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options