Skip to content
Yohana 4:43-45

Yesu Arudi Galilaya

Yohana 4:43-45
43
Baada ya zile siku mbili, Yesu aliondoka kwenda Galilaya.
44
(Basi Yesu mwenyewe alikuwa amesema kwamba nabii hapati heshima katika nchi yake mwenyewe.)
45
Alipofika Galilaya, Wagalilaya walimkaribisha, kwani walikuwa wameona yale aliyoyatenda huko Yerusalemu wakati wa Sikukuu ya Pasaka. Kwa maana wao pia walikuwa wamehudhuria hiyo Sikukuu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options