Skip to content
Yohana 2:7-8

Yohana 2:7-8

7
Yesu akawaambia wale watumishi, “Ijazeni hiyo mitungi maji.” Nao wakaijaza ile mitungi mpaka juu.
8
Kisha akawaambia, “Sasa choteni hayo maji kidogo, mpelekeeni mkuu wa meza.” Hivyo wakachota, wakampelekea.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options