Skip to content
Yohana 2:19-21

Yohana 2:19-21

19
Yesu akawajibu, “Libomoeni hili Hekalu, nami nitalijenga tena kwa siku tatu!”
20
Wale Wayahudi wakamjibu, “Hekalu hili lilijengwa kwa muda wa miaka arobaini na sita, nawe wasema utalijenga kwa siku tatu?”
21
Lakini yeye Hekalu alilozungumzia ni mwili wake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options