Skip to content
Yohana 17:20-21

Yohana 17:20-21

20
“Siwaombei hawa peke yao, bali nawaombea na wale wote watakaoniamini kupitia neno lao
21
ili wawe na umoja kama vile wewe Baba ulivyo ndani yangu na mimi nilivyo ndani yako, wao nao wawe ndani yetu, ili ulimwengu upate kuamini ya kuwa wewe ndiye uliyenituma mimi.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options