Skip to content
Yohana 17:17-19

Yohana 17:17-19

17
Uwatakase kwa ile kweli, neno lako ndilo kweli.
18
Kama vile ulivyonituma mimi ulimwenguni, nami nawatuma vivyo hivyo.
19
Kwa ajili yao najiweka wakfu ili wao nao wapate kutakaswa katika ile kweli.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options