Skip to content
Yohana 12:39-40

Yohana 12:39-40

39
Kwa hivyo hawakuamini, kwa sababu Isaya anasema mahali pengine:
40
“Amewafanya vipofu, na kuifanya mioyo yao kuwa migumu, ili wasiweze kuona kwa macho yao, wala kuelewa kwa mioyo yao, wasije wakageuka nami nikawaponya.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options