Skip to content
Yohana 12:21-22

Yohana 12:21-22

21
Hawa wakamjia Filipo, ambaye alikuwa mwenyeji wa Bethsaida huko Galilaya, wakiwa na ombi. Wakamwambia, “Tungependa kumwona Yesu.”
22
Filipo akaenda akamweleza Andrea, nao wote wawili wakamwambia Yesu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options