Skip to content
Yohana 10:9-10

Yohana 10:9-10

9
Mimi ndimi lango, yeyote anayeingia zizini kwa kupitia kwangu ataokoka, ataingia na kutoka, naye atapata malisho.
10
Mwizi huja ili aibe, kuua na kuangamiza. Mimi nimekuja ili wapate uzima kisha wawe nao tele.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options