Skip to content
Yohana 10:40-42

Yohana 10:40-42

40
Akaenda tena ngʼambo ya Mto Yordani mpaka mahali pale ambapo Yohana alikuwa akibatiza hapo awali, naye akakaa huko.
41
Watu wengi wakamjia, nao wakawa wakisema, “Yohana hakufanya muujiza wowote, lakini kila jambo alilosema kumhusu huyu mtu ni kweli.”
42
Nao wengi wakamwamini Yesu huko.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options