Skip to content
Yohana 10:37-38

Yohana 10:37-38

37
Ikiwa sifanyi kazi za Baba yangu, basi msiniamini,
38
lakini ikiwa nazifanya kazi za Mungu, hata kama hamniamini mimi ziaminini hizo kazi, ili mpate kujua na kuelewa kwamba Baba yu ndani yangu, nami ndani yake.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options