Skip to content
Yohana 10:31-33

Yohana 10:31-33

31
Kwa mara nyingine Wayahudi wakainua mawe ili wampige nayo,
32
lakini Yesu akawaambia, “Nimewaonyesha miujiza mingi mikubwa kutoka kwa Baba yangu. Ni ipi katika hiyo mnataka kunipiga mawe?”
33
Wayahudi wakamjibu, “Hatukupigi mawe kwa sababu ya mambo mema uliyotenda, bali ni kwa kuwa umekufuru. Wewe ingawa ni mwanadamu unajifanya kuwa Mungu.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options