Skip to content
Yohana 1:9-11

Yohana 1:9-11

9
Kwamba nuru halisi, imwangaziayo kila mtu ilikuwa inakuja ulimwenguni.
10
Huyo Neno alikuwako ulimwenguni na ingawa ulimwengu uliumbwa kupitia kwake, haukumtambua.
11
Alikuja kwa walio wake, lakini wao hawakumpokea.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options